sw_tn/isa/09/13.md

12 lines
528 B
Markdown

# Yahwe wa majeshi
Yahwe wa majeshi ya Israeli.
# kichwa mpaka mkia
Isaya anafafanua sitiari hii katika mstari wa 15. "Kichwa", sehemu ya mnyama ambayo mtu angetaka kuwa, ni "kiongozi na mtu mwadilifu", na "mkia" sehemu chafu ya mnyama, ni "nabii anayefundisha uongo"
# tawi la mnazi na matete
"Tawi la mnazi" huota juu ya mti na sitiari kwa ajili ya watu ambao ni muhimu na hutawala wengine. "Tete" huota katika maji ya kina kifupi na sitiari kwa ajili ya watu ambao ni maskini na hawana umuhimu na hutawaliwa na wengine.