sw_tn/isa/09/03.md

721 B

Maelezo ya Jumla

Isaya anaendelea kuelezea kipindi ambapo Mungu atawaokoa watu wa Israeli. Ingawa matukio haya yatatokea katika siku za usoni (9:1), Isaya anayafafanua kana kwamba yamekwisha tokea. Hii inasisitiza ya kwamba yatatokea hakika.

Umezidisha taifa; umeongeza furaha yao

Neno "umezidisha" ina maana ya Yahwe. Neno "yao" ina maana ya watu wa Israeli, lakini Iisaya anajijumlisha kama sehemu ya Israeli. "Bwana, utaongeza sana watu wetu na furaha yetu"

Wanafurahi mbele yako kama furaha ya kipindi cha mavunno, kama wanamume wanavyofurahi wanapogawana nyara zao

"Watafurahi mbele yako kama watu wanavyofurahi wanapokusanya mazao yao au pale vita inakamilika na wanajeshi kugawanya kiile walichochukua"