sw_tn/isa/08/11.md

809 B

Yahwe alizungumza kwangu, kwa mkono wake wa nguvu juu yangu

"Yahwe alizungumza kwangu kwa njia ya nguvu sana"

na kunionya nisitembee katika njia ya watu hawa

Hii ni nukuu isiyo moja kwa moja ambayo huisha katika 8:17. "na kunionya na kusema, 'Usitende kama watu hawa'"

Usiite njama kitu chochote ambacho watu hawa wanaitwa njama

Watu wanawaza kuna njama, na inawafanya wawe na wasiwasi. "Usiwe na wasiwasi kama watu ambao wanadhani mtu anajaribu kuwadhuru muda wote"

Ni Yahwe wa majeshi ambaye utamheshimu kama mtakatifu; yeye ndiye unayepaswa kumuogopa, na yeye ndiye unapaswa kumhofia

Kama utatafsiri hii kama nukuu ya moja kwa moja, pia unaweza kutafsiri na Yahwe kuzungumza katika mtu wa kwanza. "Lakini utanifikiria, Yahwe wa majeshi, kama mtakatifu. Na utaniogopa na kuwa na hofu kwangu"