sw_tn/isa/05/20.md

652 B

ambao huwakilisha giza kuwa nuru, na nuru kuwa giza ... uchungu kuwa utamu, na utamu kuwa uchungu

Wale wanaofanya vitu hivi ni sawa na wale ambao "huita uovu wema, na wema uovu". Vitu hivi ni kinyume na watu wanajua tofauti kati yao, lakini baadhi ya watu hudanganya na kusema mambo mabaya kuwa ni mema. "Wao ni kama watu ambao huita giza nuru na nuru giza. Wao ni kama watu wanaoita vitu vichungu vitamu na vitu vitamu vichungu"

kwa wale ambao wan hekima katika macho yao

Hapa mfano wa maneno "macho" una maana ya mawazo yao. "kwa wale ambao hujichukulia kuwa na hekima"

na wenye busara katika ufahamu wao

"na kufikiri wanaelewa kila kitu"