sw_tn/isa/05/03.md

1.3 KiB

Taarifa ya Jumla

Katika fumbo la Isaya ya shamba la mizabibu, mmiliki wa shamba la mizabibu, ambaye anawakilisha Mungu, inazungumzia watu wa Yerusalemu na Yuda juu ya shamba lake la mizabibu.

wakazi wa Yerusalemu na mtu wa Yuda

Misemo hii ina maana ya ujumla watu wote wanaoishi Yerusalemu na Yuda, kwa hiyo iinaweza kutafsiriwa na nomino za wingi. "nyie wote ambao mnaishi Yerusalemu na Yuda"

Yerusalemu ... Yuda

"Yuda" ilikuwa jina la ufalme wa kusini wa Waisraeli, na Yerusalemu ulikuwa mji mkuu.

amua kati yangu na shamba langu la mizabibu

Wazo la nafasiii kugawanyisha vitu viwili mara kwa mara lilitumiika kueleza wazo la kuchagua moja kati ya nyingine ya vitu hivyo. "amua ni nani ametenda sahihi, mimi au shamba langu la mizabibu"

Ni kipi zaidi ambacho kingeweza kufanywa kwa ajili ya shamba langu la miiizabibu, ambalo sijafanya kwa ajili yake?

Mmilikii anatumia swali hili kutoa kauli juu ya shamba lake la mizabibu. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Nimefanya kila nachoweza kwa ajili ya shamba langu la mizabibu"

Nilipoitazama kuzaa zabibu, kwa nini ilizaa mizabibu mwtu?

Mmiliki anatumia swali kusema ya kwamba shamba lake la mizabibu limezaa zabibu nzuri. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Nilitaka kutengeneza zabibu nzuri, lakini ilizaa zabibu zisizo na thamani"