sw_tn/isa/02/05.md

1.7 KiB

Taarifa ya Jumla

Katika 2:5 Isaya anazungumza na watu wa Yuda, na katika 2:6 anazungumza na Yahwe. Nyakati zote mbili anazungumz katika mtindo wa shairi.

Nyumba ya Yakobo

"Nyie uzao wa Yakobo". Neno "nyumba" ni mfano wa maneno kwa ajili ya watu wanaoishi katika nyumba, familia. Hapa "Yakobo" inawakilisha taifa la Yuda, lakini itafaa zaidi kutumia "Yakobo" hapa.

njooni

kutumainisha kwa upole kufanya kile mwandishi anataka kumwambia msikilizaji kufanya.

na tutembee katika nuru ya Yahwe

Isaya anazungumza na watu kujifunza na kisha kufanya kiile Yahwe anachotaka wao kufanya kana kwamba walikuwa wakitembea usiku na nuru ambayo Yahwe aliwapatia ili waweze kuona njia. "na tujifunze jinsi Yahwe anatutaka tuishi na kisha tuishi namna hiyo"

Kwa kuwa mmetelekeza watu wako

"Kwa kuwa mmewaacha watu wako" na haujali nini kitatokea kwao. Hapa neno "mmetelekeza" lina maana ya Yahwe ni kwa hiyo ni katika umoja.

wamejazwa kwa tamaduni kutoka mashariki

Isaya anazungumza kana kwamba watu walikuwa vyombo ambavyo vilikuwa vimejaa na kitu kutoka mashariki. Maana zaweza kuwa anazungumza 1) matendo ambayo watu wa mashariki hufanya. "wanafanya kila wakati matendo maovu ambayo watu wanaoishi katika nchi za mashariki mwa Israeli hufanya" au 2) watu, haswa wale wanaotangaza kuzungumza na wafu, ambao wanatoka mashariki kufanya matendo maovu. "waaguzi wengi wanatoka mashariki na sasa wanaishi pale"

wasoma ishara

watu wanaotangaza ya kwamba wanaweza kutabiri muda ujao kwa kutazama vitu kama sehemu ya wanyama na majani.

na wanashika mikono na wana wa wageni

Kushika mikono pamoja ni ishara ya urafiki na amani. "wanafanya amani na kufanya kazi pamoja na watu ambao hawatoki Israeli"