forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
751 B
Markdown
24 lines
751 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Mungu anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Kama u mtiifu na tayari
|
|
|
|
Hapa, "tayari" na "mtiifu" inatumika pamoja kumaanisha wazo moja. "Kama upo tayari kutii"
|
|
|
|
# utakula mema ya nchi
|
|
|
|
"nchi itazaa chakula kizuri kwa ajili yako kula"
|
|
|
|
# lakini kama utakataa na kuasi
|
|
|
|
"lakini kama ukikataa kusikiliza na badala yake kutonitii mimi"
|
|
|
|
# upanga utakumeza
|
|
|
|
Neno "upanga" lina maana ya maadui wa Yuda. Pia, neno "kumeza" inalinganisha maadui wa Yuda kuja kuwaua kama mnyama pori ambaye hushambulia na kula wanyama wengine. "maadui wako watakuua"
|
|
|
|
# kinywa cha Yahwe kimesema hivi
|
|
|
|
Neno "kinywa" kinasisitiza ya kwamba Yahwe amasema na kile anachosema hakika kitatokea. "Yahwe amezungumza" au "Yahwe amesema ya kwamba hiki kitatokea"
|