sw_tn/isa/01/01.md

631 B

Maono ya Isaya ... ambayo aliyaona

"Hili ni Ono la Isaya ... ambalo Yahwe alimwonyesha" au "Hiki ndicho Mungu alichomwonyesha Isaya"

Amozi

Amozi alikuwa baba wa Isaya

Yuda na Yerusalemu

"Yuda" ina maana ya ufalme wa kusini mwa Israeli. "Yerusalemu" ulikuwa mji wake muhimu zaidi. "wale wanaoishi Yuda na Yerusalemu" au "watu wa Yuda na Yerusalemu"

katika siku za Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.

Hii ni lahaja na ina maana ya kipindi ambacho kila mfalme alitawala. Walitawala mmoja baada ya mwingine, na sio wote kwa kipindi kimoja. "Pale Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia walipokuwa wafalme wa Yuda"