sw_tn/hos/13/12.md

507 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.

Sentensi hizi zina maana moja.

imehifadhiwa

Uovu wa ufalme wa kaskazini unazungumzwa kama kitu kinachoweza kuhifadhiwa.

Atakuwa na uchungu wa kujifungua,

Hapa Bwana anazungumzia mateso ya wana wa Israeli kama uchungu wa kuzaa.

lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni

Bwana anawaelezea wana wa Israeli kama watoto wanaozaliwa. Watu hawataki kutubu na kumtii Bwana.