sw_tn/hos/13/09.md

366 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

nani atakayekusaidia?

"hakutakuwa na mtu wa kukusaidia wewe"

Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?

Bwana anauliza swali hili ili kuwaambia Waisraeli kwamba watakapoasi juu yake hakuna mfalme wala kiongozi atakayekuja kuwasaidia.