sw_tn/hos/12/09.md

719 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na watu wa Israeli.

Mimi ndimi Bwana, Mungu wako, tangu ulipotoka nchi ya Misri

Hii inaweza kuwa na maana ya 1) "Mimi ni Bwana Mungu wako niliyewatoa baba zako toka nchi ya Misri" au 2) "Nimekuwa Mingu wako tangu ulipokuwa katika nchi ya Misri" au 3) "Nimekuwa Mungu wako ulipokuwa katika nchi ya Misri"

Nitakufanya uishi tena katika hema

Hii inaweza kuwa na maana ya 1) Bwana anawatoa kwa nguvu wana wa Israeli toka kwenye nyumba zao na kuwafanya waishi kwenye hema au 2) Ni ahadi kuwa baada ya uhamishi watu wataishi katika hema tena na Bwana atawatunza kama alivyofanya Misri.

Kwa mkono wa manabii

Hapa "mkono" unawakilisha mtu anayechukua hatua. "kupitia manabii"