sw_tn/hos/10/03.md

547 B

Taarifa ya jumla:

Hosea anazungumza juu ya Israeli.

Na mfalme-angeweza kutufanyia nini?

Watu watasema kuwa mfalme wao asingeweza kuwasaidia. "Hata tungekuwa na mfalme sasa asingeweza kutusaidia"

Wanasema maneno tupu

"maneno tupu" inamaanisha uongo. "Wanaongea uongo"

Kwa hivyo haki inakuja kama magugu yenye sumu katika mito ya shamba.

"Hivyo maamuzi yao sio ya haki, badala yake yana sumu"

kama magugu yenye sumu katika mito ya shamba

Uongo wao na kutotenda haki kunasambaa kwenye taifa na kuwadhuru watu kama mmea wenye sumu.