sw_tn/hos/09/03.md

800 B

Taarifa ya jumla:

Nabii Hosea anazungumza.

Nchi ya Bwana.

Hii inaonesha kuwa Bwana anaendelea kuiona nchi ya Israeli kama mali yake na sio mali ya Waisraeli.

Chakula kichafu.

Hiki ni chakula ambacho Waisraeli hawakula kwa sababu kiliwafanya wasikubalike kwa Bwana.

Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga

Hapa "chakula cha matanga" ni chakula kinacholiwa wakati watu wanaomboleza kwa sababu hawajakubaliwa na Mungu. Hii inamaana kuwa Bwana hataiona dhabihu yao kuwa ni chafu na hata wakubali.

Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hakitaingia nyumbani mwa Bwana.

Watu wa Israeli watakuwa na chakula lakini Bwana hataikubali kama dhabihu.

hakitaingia nyumbani mwa Bwana

Chakula kichafu kimezungumzwa kama kitu kinachoweza kwenda chenyewe. Watu huwa wanaenda nacho.