sw_tn/hos/07/10.md

520 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza.

Kiburi cha Israeli kinawashuhudia

Hii inamaanisha kwamba tabia yao ya kiburi inaonesha kwamba wana makosa ya kutomtii Bwana.

wala hawakumtafuta

Israeli waliacha kumtafuta Bwana.

licha ya hayo yote

Hapa "hayo" inamaanisha kitendo cha Mungu kuwaruhusu wageni wawashinde na kuwafanya dhaifu.

Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara

Njiwa wanadhaniwa kuwa ni ndege wajinga.

Misri ... Ashuru

Haya ni mataifa yenye nguvu ambayo Israeli wangeomba msaada.