sw_tn/hos/06/01.md

760 B

Sentensi unganishi:

Wana wa Israeli wanaonesha uhitaji wao wa kutubu.

ametuvunja ...ametujeruhi

Mungu amewaadhibu wana wa Israeli kwa sababu hawakumtii na waliabudu Miungu.

atatuponya ... atatufunga majeraha yetu

Israeli wanaamini kwamba Mungu atawahurumia wakitubu na atawakomboa kutoka kwenye matatizo yao.

Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua

Hii inawakilisha mda mfupi sana. Israeli wanaamini Mungu atakuja haraka kuwaokoa toka kwa adui zao.

siku mbili ... siku ya tatu

"siku 2 ... siku ya 3"

Nasi tumjue Bwana

"Kumjua" sio tuu kujifunza tabia za Bwana na sheria lakini pia kuwa mwaminifu kwake.

Kuja kwake ni hakika kama asubuhi

Bwana atakuwa kuwasaidia watu wake kama vile hakika jua linavyochomoza asubuhi.