sw_tn/hos/05/10.md

710 B

Taarifa ya jumla:

Mungu anazungumza juu ya Yuda na Israeli.

Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaoondoa jiwe la mipaka

"kuondoa jiwe la mpaka" ni kuondoa alama ya nchi inatoonesha mpaka wa mali ya mtu ambayo ilikuwa ni kosa kwa sheria za Israeli.

nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji

Hasira ya Bwana dhidi ya Yuda ni kama maji mengi yenye uwezo wa kuangamiza. Kwenye maandiko hisia na tabia zimefananishwa na kimiminika.

Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu

"Nitawaangamiza watu wa Israeli"

kufuata sanamu

"Kufuata" inawakilisha kitendo cha kuabudu miungu.

miungu

Neno la Kiebrania limetafsiriwa hapa kama "miungu" na katika tafsiri za kisasa limetafsiriwa kwa namna nyingi.