sw_tn/hos/03/01.md

618 B

"Nenda tena, mpendeni mwanamke, aliyependwa na mumewe; lakini ni mzinzi.

Bwana anamwambia tena Hosea ampende mwanamke mzinzi.

Mpende kama mimi, Bwana, ninavyowapenda watu wa Israeli

Kwa kumpenda mwanamke mzinzi, Hosea ataonesha mfano wa upendo wa Bwana kwa Israeli.

wanaigeukia miungu mingine na kupenda mikate ya zabibu.

Watu walikula mikate ya zabibu kipindi cha sikukuu walipokuwa wakiabudu miungu yauongo.

vipande kumi na tano vya fedha na homeri na letheki ya shayiri

Hii ndo ilikuwa gharama ya kununua mtumwa.

vipande kumi na tano

"vipande 15"

homeri na letheki

"homeri na nusu ya homeri"