sw_tn/hos/02/23.md

418 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.

Nitatampanda mwenyewe katika nchi

Mungu atawaweka watu wake salama katika nchi yao tena. "Atawajali watu wa Israeli kama vile mkulima anavyopanda mazao yake na kujali"

Lo Ruhama

Jina hili lina maana ya "hakuna huruma."

Lo Ami

Hii ina maana ya "sio watu wangu."

Ami Ata

Jina hili lina maana ya "wewe ni mtu wangu."