sw_tn/hos/02/21.md

334 B

Taarifa ya jumla:

Bwana anazungumza na Hosea kuhusu namna atakavyowafanyia Israeli.

ndilo tamko la Bwana

"Kitu ambacho Bwana amezungumza"

Dunia itashughulikia nafaka, divai mpya na mafuta, na watajibu Yezreeli.

Nchi itazalisha nafaka na divai mpya na mafuta.

Yezreeli

Jina la bonde hili linasimama kwa watu wa Israeli.