sw_tn/hos/02/16.md

458 B

Itakuwa katika siku hiyo

Hii inamaanisha siku ambayo Israeli walichagua kumwabudu Bwana pekee.

tamko la Bwana

"Kitu ambacho Bwana amezungumza"

Mungu wangu

Hii inamaanisha watu wa Israeli watampenda na kuwa waaminifu kwa Bwana kama vile mke kwa mume wake.

Baali wangu

"Baali" inamaanisha miungu ya uongo ambayo Wakaanani wanaabudu.

Kwa maana nitaondoa majina ya Baali kinywani mwake

Waisraeli hawatataja majina ya Baali na miungu mingine.