forked from WA-Catalog/sw_tn
577 B
577 B
Sentensi unganishi:
Bwana anazungumza kuhusu Israeli.
hiyo nitaenda kumshawishi
"Mimi, Bwana nitamrudisha kwangu"
bonde la Akori kama mlango wa tumaini
Bwana atawaongoza Israeli tukoka Misri, atawaongoza Israeli katika bonde la Akori ili wamtumaini tena Bwana.
Yeye atanijibu huko kama alivyofanya katika siku za ujana wake, kama katika siku ambazo alitoka katika nchi ya Misri
Bwana anatumaini kwamba taifa la Israeli litatubu na kuchagua kumwabudu yeye kama Mungu wao.
Atajibu
Baadhi ya matolea ya kisasa ya kiebrania maneno haya yana maana ya "Ataimba."