sw_tn/hos/02/14.md

577 B

Sentensi unganishi:

Bwana anazungumza kuhusu Israeli.

hiyo nitaenda kumshawishi

"Mimi, Bwana nitamrudisha kwangu"

bonde la Akori kama mlango wa tumaini

Bwana atawaongoza Israeli tukoka Misri, atawaongoza Israeli katika bonde la Akori ili wamtumaini tena Bwana.

Yeye atanijibu huko kama alivyofanya katika siku za ujana wake, kama katika siku ambazo alitoka katika nchi ya Misri

Bwana anatumaini kwamba taifa la Israeli litatubu na kuchagua kumwabudu yeye kama Mungu wao.

Atajibu

Baadhi ya matolea ya kisasa ya kiebrania maneno haya yana maana ya "Ataimba."