sw_tn/heb/12/04.md

1.9 KiB

Hauateseka na dhambi vya kutosha kiasi cha kupoteza damu

"Umeshindana na dhambi, lakini wengine wamefanya hivyo kiasi cha kupoteza damu

dhambi, mdhambi, kutenda dhambi

Neno "dhambi" linamaanisha matendo, mawazo, na maneno ambayo yako kinyume na mapenzi na sheria za Mungu. Dhambi pia inaweza kumaanisha kutokufanya kitu ambacho Mungu anahitaji sisi tufanye.

damu

Neno "damu" linamaanisha kimiminikka chekundu ambacho kinatoka kwa mtu katika ngozi ya mtu wakati anapoumia au kidonda. Damu huleta virubtubisho vya uzima katika mwili wa mtu. Damu pia inamaanisha uzima na inapomwagika inaonyesha kifo. watu walipotengeneza dhabihu, waliua mnyama na kumwaga damu yake juu ya madhabahu. Na hii iliwakilisha dhabihu ya uhai wa wanyama kulipa kwa ajili ya dhambi za watu.

kutia moyo, utiaji moyo

Maneno kutia moyo na utiaji moyo inamaanisha kusema na kufanya vitu vinavyosababisha mtu kupata faraja, tumaini, ujasiri na moyo.

kulekeza, elekezo

Neno "kuelekeza" na "elekezo" yanamaanisha kutoa maalekezo ya moja kwa moja kuhusu nini kifanyike.

mwana, mwana wa

Neno "mwana" linamaanisha mvulama au mwanaume katika uhusiano na wazazi wake.Inaweza pia kumaanisha uzao wa mtu mme au kwa mtu mwana aliye asiliwa.

Bwana

Neno "Bwana" linamaanisha kwa mtu ambaye anaumiliki au uwezo juu ya watu. Inapotumika kwa herufi kubwa ni cheo kinachomaanisha Mungu.

huadhibu

Neno "adhibu" linamaanisha kufundiisha watu kutii maelekezo au kanuni kwa tabia njema.

upendo

kumpenda mtu mwingine in kumjali mtu huyo na na kufanya vitu vitakavyo mnufaisha. Kuna maana tofauti za upendo katika baadhi ya lugha inaweza konyeshwa kwa kutumia maneno tofauti: 1 Upendo utokao kwa Mungu kuna lengamazuri juu ya wengine hata kama kama haimnufaishi. Aina hii ya upendo unajali wengine bila kujali wanafanya nini. Mungu mwenyewe ni upendo na chanzo cha upendo wa kweli.

adhibu, adhabu

Neno adhibu maana ni kusababisha mtu kuteseka kwa sababu ya kukosea kwake.