forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
637 B
Markdown
16 lines
637 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Neno "tuna" linamaanisha kwa mwandishi na waumini wote. Nukuu hizi mbili zinatoka kwenye sheria ambayo Musa alitoa katika Agano la Kale.
|
|
|
|
# kisasi ni juu yangu
|
|
|
|
kisasi kinaongelewa kana kwambani chombo ambacho kinatoka kwa Mungu, ambaye alikuwa na haki ya kufanya na kama alivyotaka na kile alichomiliki. Mungu anayo haki kulipa kisasi juuya maadui zake.
|
|
|
|
# nitalipa
|
|
|
|
Ulipaji wa Mungu wa kisasi kunaongelewa kana kwamba ni kumlipa mtu ujira umfaao
|
|
|
|
# kuanguka katika mikono
|
|
|
|
kupokea adhabu ya Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu anaangukia katika mikono ya Mungu. Mikono" hapa inamaanisha uwezo wa Mungu wa kuhukumu.
|