forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
854 B
Markdown
36 lines
854 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Mwandishi anatoa onyo la nne.
|
|
|
|
# kwa makusudi
|
|
|
|
"kwa kukusudia"
|
|
|
|
# baada ya kuwa tumepokea ujuzi wa kweli
|
|
|
|
Ujuzi wa kweli kunaongelewa kana kwamba ni chombo ambacho kinaweza kumpa mtu mmoja hadi mwingine. AT: "baaba ya kuwa tumejifunza kweli"
|
|
|
|
# dhabihu ya dhambi haipo tena
|
|
|
|
"hakuna awezaye kutoa dhabihu ambayo Mungu atatusamehe dhambi zetu"
|
|
|
|
# kweli
|
|
|
|
Ukweli kuhusu Mungu.
|
|
|
|
# hakuna tena dhabihu kwa ajili ya dhambi
|
|
|
|
Hakuna mtu yeyote awezaye kutoa dhabihu mpya kwa sababu dhabihu ya Kristo ndiyo pekee inayofanya kazi.
|
|
|
|
# dhabihu kwa ajili ya dhambi
|
|
|
|
"dhabihu kwa ajili ya dhambi" inasimama kama njia tendaji ya kudhabihu wanyama ili kuondoa dhambi"
|
|
|
|
# ya hukumu
|
|
|
|
ya hukumu ya Mungu. ambayo, Mungu atahukumu.
|
|
|
|
# ukali wa moto ambao utawateketeza adui wa Mungu
|
|
|
|
Ukali wa Mungu unaongelwa kana ni moto ambao ungechoma maadui wake.
|