sw_tn/heb/07/intro.md

716 B

Waebrania 07 maelezo kwa jumla

Muundo na Mpangilio

Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 7:17,21, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.

Dhana muhimu katika sura hii

Kuhani mkuu

Ni kuhani mkuu tu angetoa dhabihu ili Mungu asamehe dhambi na kwa hivyo lazima Yesu alikuwa kuhani Mkuu. Sheria ya Musa iliamuru kwamba kuhani mkuu atoke kwa kabila la Walawi lakini Yesu alitoka kabila la Yuda.Mungu alimfanya kuhani kama Melikizedeki aliyeishi dhabihui za Abarahamu kabla ya kuwepo kabila la Walawi.

<< | >>