sw_tn/hab/03/07.md

974 B

Taarifa kwa Ujumla:

Habakuki anaendelea kufafanua maono yake ya Yahwe.

mahema ya wakushi katika mateso, na kitambaa cha mahema ... ya Midiani yanatetemeka.

Watu wa Midiani na Wakushi wanao tetemeka na tikisika kwa woga wanafanana na hema ya nguo ambavyo inaenda wakati upepo unavuma.

wakushi

Hii inaweza kuwa 1) jina la kikundi cha watu wasiojulikana vinginevyo au 2) Kushi ile ile.

Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa kinyume na mtoni, au chuki yako kinyume na bahari ... magari ya ushindi?

kama lugha yako haina maneno yakutenganisha "hasira" na "ghadhabu" na "chuki" unaweza ukaunganisha misitari: "Yahwe alikuwa na hasira na mito? Chuki yako ilikuwa kinyume na bahari ... magari ya ushindi?" NI: "Yahwe hakuwa na hasira na mito, wala Chuki yako haikuwa kinyume na bahari ... magari ya ushindi."

fimbo yako juu ya farasi na magari ya ushindi

Kama askari aliongoza farasi au gari katika vita, Yahwe alikuja kuokoa watu wa Isrseli.