sw_tn/hab/02/04.md

683 B

Taarifa kwa Ujumla:

Yahwe anaendelea kumjibu Habakuki.

Angalia!

Neno "angalia!" hapa linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata.

Yule ambaye anatamani hayuko sawa ndani yake ... kijana mwenye kiburi ... yeye hatastahimili, lakini hukuza hamu yake ... hukusanyika kwake mwenyewe ... anakusanyika kwaajili yake.

Yahwe anazungumzia Wakaldayo ingawa kama wako mtu mmoja. "Yeye" inarejerea kwa Wakaldayo ingawa kama wako mtu mmoja.

Hukusanya kwake kila taifa na hukusanya kwaajili yake mwenyewe watu wote.

Hapa kinasemwa kitu kimoja katika namna mbili tofauti. "Anawakusanya watu wote kutoka kila taifa" (Angalia:

Kusanya

leta pamoja

kila ... wote

idadi kubwa sana