sw_tn/hab/02/02.md

697 B

Taarifa kwa Ujumla:

Yahwe anamjibu Habakuki.

Tunza maono haya, na uandike kwa dhahiri kwenye vibao

Kauli zote mbili zinasema kitu kile kile katika njia mbili tofauti. Badilisha tafsiri: "Andika kwa wazi juu vibao ambacho Mungu anakwenda kukwambia"

vibao

hivi ni vipande bapa vya mawe au udongo mfinyanzi ambao uliotumika kwaajili ya kuandika.

yule anayesoma anaweza kukimbia

Hii inaweza kumaanisha 1) mtu fulani atakimbia pamoja na vibao na kuwasomea au 2) mtu yeyote ambaye anayesoma ataweza kusoma kwa urahisi

na mwisho kuongea

kile kilichoandikwa kitatokea au kuja kuwa halisi.

na hakitakawia

Maana zinazowezekana 1) "na hakitasubiri" au 2) "na hakitakuja kwa taratibu"