sw_tn/hab/02/01.md

602 B

mimi ... yangu ... mimi

Habakuki

yeye

Yahwe

Nitasimama katika nguzo yangu ya ulinzi na kuweka kituo changu mwenyewe juu ya mnara wa mlinzi.

Kauli hii inasema kitu kilekile kwa namna mbili tofauti. "nitazimama katika nguzo yangu juu ya mnara wa mlinzi." Habakuki anatumia kauli hii akijilinganisha yeye mwenyewe anasubiri kusikia kutoka kwa Mungu kwa askari mlinzi asimamaye kulinda juu ya mnara.

Nitageuka kuondokana na lawama zangu

Neno "geuka" linazungumzia mtu kubadilisha mawazo yake kama nikuondoka kutoka kitu kimoja kwenda kingine. NI: "Nitaacha kulaumu na kukubaliana na Mungu"