sw_tn/hab/01/08.md

687 B

Farasi zao ... farasi zao

farasi za askari wa Wakaldayo

haraka kuliko mbwa mwitu wa jioni

Farasi za Wakaldayo wanalinganishwa na mbwa mwitu wakali ambao wanakimbilia mawindo yao wakati wa jioni wanapokuwa na njaa sana kwasababu hawajala siku nzima.

wapanda farasi wao

Askari wa Wakaldayo wanapanda farasi.

chui

kubwa, paka wepesi

wanaruka kama tai

"wapanda farasi wanaendesha kwa haraka kama tai wanavyopaa"

umati wao unakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga

Wakaldayo ni wengi, na kama chembe chembe za mchanga upepo hubeba katika mawimbi wengi hawahesabiki, hivyo hakuna mtu anayeweza kuhesabu watu wanaokamata na kuwafanya wafungwa.