sw_tn/hab/01/01.md

361 B

Ujumbe ambao Habakuki nabii aliuokea

Maneno haya yanatambulisha sura mbili za mwanzo wa kitabu. Kama lugha yako inahitaji sentensi kamili hapa, "Huu ni ujumbe ambao Habakuki nabii aliupokea kutoka kwa Mungu."

kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia?

NI: "Nimekuwa nikilia kwaajili ya msaada kwa muda mrefu, ingawa lakini unajifanya kama hunisikii!"