sw_tn/gen/50/10.md

641 B

Hata walipokuja

Neno "walipokuja" lina maana ya washiriki katika tukio la mazishi.

sakafu ya Atadi

Maana zaweza kuwa 1) neno la "Atadi" lina maana ya "mwiba" na lina maana ya sehemu ambapo kuna idadi kubwa ya miiba inayoota, au 2) inaweza kuwa jina la mtu anayemiliki sakafu ya kupigia.

wakaomboleza kwa majonzi ya huzuni kubwa

"walikuwana huzuni kubwa na walilia sana"

ya siku saba

"ya siku 7"

katika sakafu ya Atadi

"katika sakafu ya kupigia ya Atadi"

Hili ni tukio la kuhuzunisha sana kwa Wamisri

"maombolezo ya Wamisri ni mkubwa sana"

Abeli Mizraimu

"Jina la Abeli Mizraimu lina maana ya "maombolezo ya Misri"