sw_tn/gen/49/03.md

1.2 KiB

mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, na mwanzo wa uwezo wangu

Misemo ya "mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu" na "mwanzo wa uwezo wangu" zina maana moja. Maneno "uwezo" na "nguvu" yana maana ya uwezo wa Yakobo kuzaa watoto. Maneno "mzaliwa wa kwanza" na "mwanzo" ina maana ya kwamba Rubeni ni mwanawe wa kwanza. "mwanangu wa kwanza nilipokuwa mwanamume"

aliyesalia katika heshima na nguvu

Hii inaweza kuwekwa kama sentensi mpya. "Wewe ni wa kwanza kwa heshima na nguvu" au "Unawapita wengine wote kwa heshima na nguvu"

Asiyezuilika kama maji yarukayo

Yakobo anamlinganisha Rubeni na maji yenye mkondo mwenye nguvu kusisitiza ya kwamba hawezi kujizuia hasirayake na hayupo imara.

hautakuwa na umaharufu

"hautakuwa wa kwanza miongoni mwa ndugu zako"

kwa sababu ulikwenda juu ya kitanda cha baba yako. Hata ukakitia unajisi; ulipanda juu ya kitanda changu

Hapa "kitanda" na "juu ya kitanda changu" ina maana ya suria wa Yakobo, Bilha. Yakobo ana maanisha pale ambapo Rubeni alilala na Bilha. "kwa sababu ulipanda kitandani mwangu na kulala na Bilha suria wangu. Umeniaibisha"

ulikwenda juu ya kitanda cha baba yako ... ulipanda juu ya kitanda changu

Kaluli zote mbili zina maana moja.