sw_tn/gen/46/01.md

1.2 KiB

akaja Beersheba

"alikuja Beersheba"

Mimi hapa

"Ndio, ninasikiliza"

kushuka Misri

Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "shuka" kuzungumzia safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri.

nitakufanya taifa kubwa

Hapa "nitakufanya" ni katika umoja na una maana ya Yakobo. Hii "nitakufanya" pia ina maana ya uzao wa Israeli ambao watakuwa taifa kubwa. "Nitakupatia uzao mkubwa, nao watakuwa taifa kubwa"

huko Misri

"huko Misri"

Nami nitakupandisha huku tena bila shaka

Ahadi ilifanywa kwa Yakobo, lakini ahadi hii ingetimizwa kwa uzao wote wa Yakobo. "Hakika nitaleta uzao wako kutoka Misri tena"

nitakupandisha huku tena

Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kupanda" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani.

Na Yusufu akayafunika macho yako kwa mikono yake

Msemo huu "akayafunika macho yako kwa mikono yake" ni njia ya kusema ya kwamba Yusufu atakuwepo pale ambapo Israeli atakufa na Yusufu atauafumba macho ya Yakobo katika kipindi cha kifo chake. "Na Yusufu pia atakuwepo pamoja na wewe katika kipindi cha kifo chako"

akayafunika macho yako

Ilikuwa ni utamaduni kufunika kope za macho pale mtu anapokufa na macho yake wazi. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.