sw_tn/gen/45/04.md

675 B

mliyemwuza Misri

Maana inaweza kuwekwa wazi zaidi. "ambaye mlimuuza kama mtumwa kwa wafanyabiashara walionileta huku Misri"

msihuzunike

"msihuzunike" au "msiteseke"

mliniuza huku

Maana inaweza kuwekwa wazi zaidi. "ya kwamba mliniuza kama mtumwa na kunituma huku Misri"

kutunza uhai

Hapa "uhai" ina maana ya watu ambao Yusufu aliwaokoa na kifo wakati wa njaa. "Ili niweze kuokoa maisha ya wengi"

bado kuna miaka mitano ambayo hakutakuwa na kulima wala kuvuna.

"kutakuwa na miaka mitano zaidi bila ya kupanda au kuvuna". Hapa "bila ya kupanda au kuvuna" ina maana ya ukweli kwamba mimea haitaota kwa sababu ya ukame. "na njaa itadumu kwa miaka mitano zaidi"