sw_tn/gen/44/08.md

1.5 KiB

Tazama

Hii inaongeza msisitizo kwa kile ndugu wanasema baadae.

pesa tulizozikuta katika midomo ya magunia yetu

"unajua pesa ambayo tumeipata ndani ya magunia yetu"

tulizileta kwako kutoka katika nchi ya Kanaani

"tumerudisha kwako kutoka Kaanani"

Ni kwa jinsi gani basi tunaweza kuiba katika nyumba ya bwana wako fedha au dhahabu?

Ndugu wanatumia swali kuweka msisitizo ya kwamba hawawezi kuiba kutoka katika bwana wa Misri. "Kwa hiyo hatuwezi kuchukua kitu chochote kutoka kwenye nyumba ya bwana wako!"

fedha au dhahabu

Maneno haya yanatumiwa pamoja kumaanisha ya kwamba hawawezi kuiba kitu chochote chenye thamani yoyote.

Yeyote kitakayeonekana kwake miongoni mwa watumishi wako

Ndugu wanajitambua wao kama "watumishi wako". Hii njia rasmi ya kuzungumza na mtu mwenye mamlaka makubwa. Inaweza kuwekwa katika lugha ya mtu mmoja. Pia, "kitakayeonekana" linaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Ukikuta ya kwamba mmoja wetu ameiba kikombe"

nasi sote tutakuwa watumwa wa bwana wangu

Msemo "bwana wangu" una maana ya mtunzaji. Hii inaweza kuwekwa katika lugha ya upili. "Unaweza kutuchukua kama watumwa wako"

Basi na iwe kwa kadiri ya maneno yenu

Hapa "basi" haimaanishi "katika kipindi hiki" lakini inatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata. Pia "maneno" ina maana ya kile kilichosemwa. "Vizuri sana. Nitafanya kile ulichosema"

Yeye ambaye kikombe kitaonekana kwake atakuwa mtumwa wangu

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama nikikuta kikombe ndani ya moja ya magunia yenu, mtu huyo atakuwa mtumwa wangu"