sw_tn/gen/44/06.md

784 B

kuwambia maneno haya

Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. "alizungumza kile Yusufu alichomuambia kusema"

Kwa nini bwana wetu anasema maneno kama haya?

Hapa "maneno" yana maana ya kile kilichosemwa. Ndugu wanataja msimamizi kama "bwana wangu". Hii njia maalumu ya kuzungumza na mtu mwenye mamlaka makubwa zaidi. Inaweza kuwekwa katika lugha ya upili. "Kwa nini unasema hivi, bwana wangu?"

Na iwe mbali na watumishi wako kwamba wanaweza kufanya jambo hili

Ndugu wanajitambua wenyewe kama "watumishi wako" na "wao". Hii ni njia maalumu ya kuzungumza na mtu mwenye mamlaka makubwa zaidi. "Hatuwezi kufanya jambo kama hilo!"

Na iwe mbali na watumishi

Jambo ambalo mtu hawezi kufanya inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu ambacho mtu anataka kukiweka mbali nacho.