forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
422 B
Markdown
20 lines
422 B
Markdown
# tazama, nilisimama
|
|
|
|
Farao anatumia neno "tazama" kumfanya Yusufu kuvuta nadhari kwa habari ya kushangaza.
|
|
|
|
# ukingo wa mto Nile
|
|
|
|
Hii ni ardhi iliyo juuzaidi katika ukingo wa Mto Nile.
|
|
|
|
# Tazama, ng'ombe saba
|
|
|
|
Farao anatumia neno "tazama" kumfanya Yusufu kuvuta nadhari kwa habari ya kushangaza.
|
|
|
|
# wanene na wakuvutia
|
|
|
|
"waliolishwa vizuri na wenye afya"
|
|
|
|
# wakajilisha katika nyasi
|
|
|
|
"walikuwa wakila nyasi kando ya mto"
|