sw_tn/gen/38/15.md

20 lines
487 B
Markdown

# kwa maana alikuwa amefunika uso wake
Yuda hakufikiria ya kwamba alikuwa kahaba kwa sababu tu alifunika uso wake lakini pia kwa sababu alikuwa amekaa langoni. "kwa sababu alikuwa amefunika kichwa chake na kukaa mahali makahaba hukaa mara kwa mara"
# Akamwendea kando ya njia
Tamari alikuwa amekaa kando ya njia. "Alikwenda mahali alipokuwa amekaa kando na njia"
# Njoo
"Njoo kwangu" au "Njoo sasa"
# Yuda alipomwona
"Yuda alipomwona Tamari"
# mkwewe
mkwewe - "mke wa mwanawe"