sw_tn/gen/36/06.md

702 B

aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani

Hii ina maana ya vitu vyote vilivyokusanywa alipokuwa katika nchi ya Kaanani. "aliyokuwa amekusanya alipokuwa akiishi katika nchi ya Kanaani"

akaenda katika nchi

Hii ina maana ya kuhama katika sehemu nyingine na kuishi kule. "alikwenda kuishi katika nchi nyingine"

mali zao

"Mali za Esau na Yakobo"

isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao. 8

Nchi haikuwa na ukubwa wa kutosha kuwatunza mifugo wote ambao Yakobo na Esau walimiliki. "haikuwa na ukubwa wa kutosha kuwatunza mifugo yao" au "haikuwa na ukubwa wa kutosha kwa mifugo ya Esau na Yakobo"

waliyokuwa wamekaa

Neno "wamekaa" lina maana ya kuelekea sehemu na kuishi pale. "pale walipohamia"