sw_tn/gen/35/28.md

728 B

miaka mia moja na themanini

"miaka 180"

Isaka akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa

"Isaka akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa". Misemo ya "alivuta pumzi ya mwisho" na "akafa" ina maana ya kitu kimoja. "Abrahamu alikufa"

akapumua pumzi yake ya mwisho

Hii ni njia ya upole ya kusema mtu alikufa.

akakusanywa kwa wahenga wake

Hii ina maana ya kwamba baada ya Isaka kufa, roho yake ilikwenda sehemu ile ile ndugu zake waliokufa kabla yake. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "alijiunga na familia yake waliokuwa wamekufa"

mtu mzee amejaa siku

Misemo ya "mtu mzee" na "amejaa siku" zina maan moja. Zinasisitiza ya kwamba Isaka aliishi muda mrefu sana. "baada ya kuishi muda mrefu sana na kuzeeka sana"