sw_tn/gen/35/01.md

879 B

panda kwenda Betheli

Msemo "panda" unatumika kwa sababu Betheli ipo sehemu ya juu kuliko Shekemu.

Unijengee madhabahu pale

Mungu anaongea kuhusu yeye mwenyewe katika lugha ya utatu. "Jenga madhabahu pale kwangu, Mungu wako"

akawambia nyumba yake

"akwaambia familia yake"

Wekeni mbali miungu yote ya kigeni iliyo kati yenu

"Tupa mbali sanamu zenu" au "Zitokomeze miungu yenu ya uongo"

jitakaseni wenyewe, na kubadili mavazi yenu

Hii ilikuwa utamaduni wa kujitakasa kimaadili na kimwili kabla ya kwenda kumuabudu Mungu.

kubadili mavazi yenu

Kuvaa mavazi mapya ilikuwa ishara ya kwamba walijifanya safi kabla ya kumkaribia Mungu.

katika siku ya shida yangu

Maana za "siku" zaweza kuwa 1) siku ambayo Yakobo alimtoroka Esau au 2) "siku" ina maana ya kipindi ambacho Yakobo alikuwa na mawazo. "nilipokuwa katika kipindi kigumu" au "nilipokuwa katika shida"