sw_tn/gen/34/18.md

631 B

Maneno yao yakawafurahisha Hamori na Shekemu mwanaye

Hapa "maneno" ina maana ya kile kilichosemwa. "Hamori na mwanawe Shekemu walikubali na kile ambacho wana wa Yakobo walisema"

kufanya walichokisema

"kufanyiwa tohara"

binti wa Yakobo

"binti wa Yakobo Dina"

kwa sababu alikuwa mtu aliyeheshimiwa sana katika nyumba ya babaye

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba Shekemu alijua wanamume wengine wangekubali kufanyiwa tohara kwa sababu walimheshimu sana. "Shekemu alijua wanamume wote katika nyumba ya baba yake watakubaliana naye kwa sababu alikuwa akiheshimiwa zaidi kati yao"