forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
527 B
Markdown
16 lines
527 B
Markdown
# Akasema, "Kwa nini kuniuliza jina langu?"
|
|
|
|
Akasema, "Kwa nini kuniuliza jina langu?" Swali hili la balagha lilitakiwa kushtua, kukaripia na kumfanya Yakobo awaze juu ya kilichotokea kati yake na mtu mwingine aliyeshindana naye. "Usiniulize jina langu!"
|
|
|
|
# Penieli
|
|
|
|
"Jina la Penieli lina maana ya "uso wa Mungu".
|
|
|
|
# uso kwa uso
|
|
|
|
Kuwa "uso kwa uso" ina maana ya watu wawili kutazamana ana kwa ana, kwa umbali mfupi.
|
|
|
|
# na maisha yangu yamesalimika
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na bado akasalimisha maisha yangu"
|