sw_tn/gen/31/54.md

480 B

akawaita ndugu zake kula chakula

Kula chakula pamoja ilikuwa sehemu ya kufanya agano baina na mtu. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi.

asubuhi na mapema ... kurudi kwake

Mstari wa 55 ni mstari wa kwanza wa sura ya 32 katika maandishi ya asili ya Kihebrania, lakini mstari wa mwisho wa suraya 31 katika Biblia za sasa. Tunashauri kufuata hesabu ya Biblia ya lugha yako.

kuwabariki

Hii ina maana ya kuweka nia kwa mambo chanya na yenye manufaa yanayotokea kwa mtu.