sw_tn/gen/31/43.md

541 B

akini nitafanya nini leo kwa hawa binti zangu, au kwa watoto wao waliowazaa?

Labani anatumia swali kusisitiza ya kwamba hakuna awezalo kufanya. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Lakini hakuna kitu nachoweza kufanya kuwarudisha binti zangu na wajukuu wangu kwangu"

liwe shahidi

Hapa neno "shahidi" haimaanishi mtu, lakini linatumika kwa mfano na lina maana ya agano ambalo Yakobo na Labani walifanya. Agano linazungumzwa kana kwamba lilikuwa mtu ambaye alikuwa pale wakati walipokubaliana kufanya amani kati yao.