forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
987 B
Markdown
28 lines
987 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Yakobo anaendelea kuzungumza na Labani.
|
|
|
|
# miaka ishirini
|
|
|
|
"miaka 20"
|
|
|
|
# Kondoo
|
|
|
|
kondoo wa kike
|
|
|
|
# hawakutoa mimba
|
|
|
|
Hii ina maana ya kwamba hawajawa na mimba iliyokatishwa mapema na bila matarajio na mwanakondoo au mbuzi kuzaliwa amekufa.
|
|
|
|
# Kilichoraruliwa na mnyama sikukuletea
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mnyama pori alipowaua mmoja wa wanyama wako sikukuletea kwako"
|
|
|
|
# Badala yake, nilichukua upotevu huo
|
|
|
|
Kwa Yakobo kuhesabu wanyama wa Labani waliokufa kama hasara kutoka kwa mifugo wake inazungumzwa kana kwamba ilikuwa mzigo ambao angeubeba begani mwake. "badala ya kuhesabu hasara kutoka kwa mifugo yako, nimehesabu kama hasara kutoka kwa mifugo yangu"
|
|
|
|
# Nilikuwepo wakati wote; mchana joto lilinipata, na baridi wakati wa usiku
|
|
|
|
Kuteseka wakati wa jua kali na halijoto chini inazungumzwa kana kwamba halijoto ilikuwa wanyama waliokuwa wakimla Yakobo. "Nilikaa na mifugo wako hata wakati wa joto kali la siku na wakati wa baridi wa usiku"
|