sw_tn/gen/31/24.md

819 B

Basi Mungu akaja kwa Labani Mwarami katika ndoto usiku

Neno "basi" linatumika kuweka alama kwa badiliko kutoka kwenye simulizi ya taarifa ya nyuma kuhusu Labani. "usiku huo Mungu alikuja kwa Labani ndotoni"

Ujiadhari kumwambia Yakobo jambo lolote liwe jema au baya

Msemo huu "jema au baya" unatumika pamoja kumaanisha "chochote". "Usiseme chochote kujaribu kumsimamisha Yakobo kuondoka"

Labani akampata Yakobo. Basi Yakobo alikuwa amepiga hema yake katika nchi ya vilima. Labani pia akapiga kambi pamoja na ndugu zake katika nchi ya kilima ya Gileadi

Neno "basi" inatumika hapa kuweka alama ya badiliko ya simulizi kwa taarifa ya nyuma kuhusu Yakobo na Labani. "Labani alipomfikia Yakobo, Yakobo aliweka hema lake katika nchi ya vilima. Kisha Labani na ndugu zake pia waliweka mahema katika nchi ya Gileadi.