sw_tn/gen/31/10.md

688 B

Taarifa ya Jumla

Yakobo anaendelea simulizi yake kwa wake zake Lea na Raheli.

Wakati fulani wa majira ya kupandana

"Wakati wa msimu wa kupandana"

yaliyowapanda kundi

Hapa "kundi" ina maana ya mbuzi wa kike. "kupandana na mbuzi wa kike wa kundi"

yalikuwa ya milia, mabaka na madoa

"walikuwa na milia, madoa kidogo,na mabaka makubwa"

Malaika wa Mungu

Maana zaweza kuwa 1) Mungu mwenyewe alijitokeza kama mtu au 2) mmoja wa wajumbe wa Mungu alijitokeza. Kwa maana msemo haueleweki vizuri, ni vyema kutafsiri kama "malaika wa Mungu" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".

Nikasema

"Na nikajibu"

Mimi hapa

"Ndio, ninasikiliza" au "Ndio, kuna nini?"