sw_tn/gen/31/01.md

767 B

Basi

Neno hili linatumika hapa kuweka alama kuweka nafasi katika simulizi kuu. Hapa mwandishi anaanza kueleza sehemu mpya ya simulizi.

Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani, wakisema

Hapa "maneno" yana maana ya kwa yale waliokuwa wakisema. "Yakobo alisikia ya kwamba wana wa Labani wakisema"

Yakobo amechukuwa yote yaliyokuwa ya baba yetu

Wana wa Labani walikuza kwa sababu walikuwa na hasira. "Kila kitu ambacho Yakobo anacho ametoa kwa baba yetu"

Yakobo akaona mwonekano katika uso wa Labani. Akaona kwamba nia yake imebadilika

Sentensi hizi mbili zina maana moja. Ya pili inaelezea muonekano ambao Yakobo aliona kwa uso wa Labani. "Yakobo aligundua ya kwamba Labani hakufurahishwa naye tena"

baba zako

"baba yako Isaka na babu yako Abrahamu"